Joyce Wowowo wombs kibali cha kuwashughulikia wanaompinga jiiwe

Jana wakati wa mapokezi ya Dreamliner, Joyce wowowo alitamka hadharani akiomba Kiba like cha kuwashughulikia maadui cha jiwe.
Inamaana anatuambia wapi kuwa kazi ile ameshakuwa assigned?

Sasa anajitokeza hadhari kuhusu kazi yake ya Nissan Nyeupe.

Jamaa hana aibu!

ha ha ha joyce mawowo duuu

Akili za mkiani huwa zinasumbua sana.

Ati Joyce wowowo… ha ha ha unanikumbusha mbali sana miaka ya 90’s

DAB atapata taabu sana siku si nyingi.Ni dhambi kumwabudu mwanadamu mwenzio.

Ataanza na wewe unamuita Joyce wowowo.

http://www.liberatetanzania.com/

https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/27535583
Jiwe anaendelea kujipambanua

Dah! Namfahamu huyu jamaa kwa karibu sana ni mtu poa sana na ana roho nzuri sana. Kumbe hii ndiyo sababu ya kupigwa demotion!?

Kazi ipo!!! Hapa unyama na roho mbaya tu
:oops::oops::oops::oops:

Ndio hivyo mkuu.
Ana roho mbaya sana na ngumu zaidi ya Jiwe jinsi alivyojipachika uni-nickname huo

Inasikitisha sana Mkuu kuona huyo dikteta mwenye chuki za kutisha na roho mbaya anataka watu wote wawe na chuki za kutisha na roho mbaya kama yeye vinginevyo atawaadhibu.

http://www.liberatetanzania.com/

Mtu kama unafirwa usitegemee kuwa utakuwa na akili. Bashite anapigwa mboo, unategemea nini.

Ohooooo!

Mkuu nani huyo?

joyce wowowo karudi hahaha! wahenga mkuje huku

[SIZE=5][FONT=times new roman]Duh…watu kwa maneno ni hatari nakumbuka enzi hzo mambo ya joyce wowowo[/FONT][/SIZE]

Joyce Wowowo aka nyamitako