Najaribu kuwaza kwa sauti kubwa kampeni ya 2020 itakuwaje?!
Itakumbukwa kuwa katika kampeni za 2015 Mwigulu na Nape walikuwa mstari wa mbele kumpigia kampeni JPM nchi nzima! Sasa baada ya kuwatema katika serikali yake wataendelea kumuunga mkono hadi kumfanyia kampeni tena 2020?
Kwishney Mwigulu pamoja na zile push-ups zake! Ngoja tusikie atakavyolipuka aligyokuwa anashinikizwa kunyamazisha watu! Aje huku atuambie na yule aliyeagiza Tundu afanyiwe pyu pyu pyuuuuuuuuu!
Jizi lililotamalaki magogoni linajiweka sawa na mashetani wenzake! Kumbe ujambazi mpaka TISS bhana araa!! umejua kile kilichomshusha Udeputy TISSS had uRAS? Alimchunguza bosi wake TISS mkuu kuhusu account zake ughaibuni ambazo walikubaliana wakwapue na hilo jambazi la magogoni. Hivyo jambazi kuu la magogoni likaamue limshushe msalika SHEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEM
Hivi unafikiri Magu anazitegemea kura za watanzania??
Yeye tayari anayo Tume ya uchaguzi ambayo amewachagua yeye kuanzia Mwenyekiti wa Tume na makamishna wake wote
Yeye pia analo Jeshi la Polisi, yeye akiwa Commander in Chief, anaamini anaweza akaagiza magari ya washawasha yaende mahali ambapo NEC “imeyapindua” matokeo na wananchi wanaprotest