Juja South Estate

upepo

Village Elder
#30
Ile kitu hamuoni ni kwamba Juja ni kama ukambani. Ile jua huwa hio place ina-scramble brain mpaka unasahau jina yako. Hakuna haja ya kuwa na nyumba poa lakini huwezi toka nje. Alafu pia the surrounding area ni third world sana.Mahali kuna weather mzuri huwesmind barabara ata iwe five kilometers na siati unatembea kwa miguu.
 

panktcha

Village Elder
#35
If all the routes to the houses are through the flyover then hakuna hopes
It has been like that for years! It will never change. It's becoming worse of late.

I think a solution would be to close that bridge to vehicular traffic (only watu wa mguu) and remove the bus stops on both ends of the bridge.
 

Randy

Village Sponsor
#36
Yes it's true a two bedroom house is renting for 25k. I have seen the show house but one the bedroom is too small. I don't now about the rest. I you are looking for safe/quiet neighborhood I highly recommend this estate.
 
Last edited:

Dunya

Village Elder
#37
Ile kitu hamuoni ni kwamba Juja ni kama ukambani. Ile jua huwa hio place ina-scramble brain mpaka unasahau jina yako. Hakuna haja ya kuwa na nyumba poa lakini huwezi toka nje. Alafu pia the surrounding area ni third world sana.Mahali kuna weather mzuri huwesmind barabara ata iwe five kilometers na siati unatembea kwa miguu.
Watu wanaishi saudi arabia na hawasumbui
 

Dunya

Village Elder
#38
Ile kitu hamuoni ni kwamba Juja ni kama ukambani. Ile jua huwa hio place ina-scramble brain mpaka unasahau jina yako. Hakuna haja ya kuwa na nyumba poa lakini huwezi toka nje. Alafu pia the surrounding area ni third world sana.Mahali kuna weather mzuri huwesmind barabara ata iwe five kilometers na siati unatembea kwa miguu.
Watu wanaishi saudi arabia na hawasumbui
 

Shaka

Village Elder
#39
Ile kitu hamuoni ni kwamba Juja ni kama ukambani. Ile jua huwa hio place ina-scramble brain mpaka unasahau jina yako. Hakuna haja ya kuwa na nyumba poa lakini huwezi toka nje. Alafu pia the surrounding area ni third world sana.Mahali kuna weather mzuri huwesmind barabara ata iwe five kilometers na siati unatembea kwa miguu.
Na vumbi yenye iko hio place, ukitembea kilometre moja unakuwa wa brown hata kwa masikio. Siku hizi unasweat asubuhi ya 6am while taking tea
 
Top