Wakuu Watanzania tumeanzisha jukwaa jingine kwa jina la JamiiTalk.
Hivyo tunawakaribisha kujiunga na Jukwaa letu jipya
Visit our website www.jamiitalk.com
Wakuu Watanzania tumeanzisha jukwaa jingine kwa jina la JamiiTalk.
Hivyo tunawakaribisha kujiunga na Jukwaa letu jipya
Visit our website www.jamiitalk.com
Akanyal klick unless klit
Did you learn to converse in English. Cause I ain’t be following the conversation in Tz Swahili
Tujifunze kiswahili. Let’s be proud of our Africaness:D
I prefer a site that is flexible in terms of language. Like ktalk. Here you can communicate in English, Kiswahili, sheng without making anyone uneasy or creating a communication barrier
I didn’t understand you
Karibu pia mkuu kwenye jukwaa letu nitafurahi nikiwaona kule
Even our forum use default language you can use swahili, english, french and other supported language just visit to experience it via www.jamiitalk.com
Nyinyi na kizungu ni kama maji na mafuta.
Mtaanza matusi na unnecessary competitions about which country is more developed.
Siyo hivyo chief na hivyo vitu huanzishwa na members siyo sisi waasisi.
Hivyo tunakutegema ujadili kule maswala ya kenya na habari ili na watanzania wafahamu.
Kumbe sio mimi pekee nilifikiria hivyo
Twaja basi mdau na sisi tuchangie mjadala.