Jukwaa la Mapishi

@The Tweet niliomba hilo jukwaa muda tu lakini mbona kama umenisahau?

Honestly, napenda sana kupika nilikua n moja ya jukwaa langu kule home the great thinkers bas naomba nikidhiwe kiu yangu pengine kuna mtu naye anahitaj jukwaa hili pia anaona shida kujieleza

Kwa heshima na taadhima ninaomba jukwaa la maakuli la kupika pika kama ile jf chef

Ahsante n matumaini yangu ombi langu litafanyiwa kazi

Nilikwambia siku moja unipikie magimbi ya nazi sijui kama uliweza loh.

Yaani likitajwa jukwaa la mapishi namkumbuka ukhty @Farkina

Mtume ya raabb, hee wapi huko??

Hahaha mbona umestuka hivyo?Kesi za jf hizi,unabambikiwa bila ushahidi

Nikikukumbusha utakumbuka kweli?

Hahahaha yaaani

Kumbushia tu

Mwenzio kadai kesi za jf unaweza bambikiwa bila ushahidi kwahyo ushahidi kutoka jf sina kwa kuwa haipo hewani.

Hata hivo sikumbuku hiyo case ako

Na kupika unaweza au umeishia kupenda.?

Kwani vipi

Poa

Good day.

Amen