Jukwaa lililotuponza kule JF Original

Nadhani jukwaa la Siasa ndo lilitufanya tuitwe wakimbizi. Naimiss JF jukwaa lilijaa hoja nzito nzito na makini. Hope wadau watakuja hapa kuendeleza

Mkuu lile ndio jukwaa liliwasha moto

Swali ni je, wangapi watahamia huku ‘‘ofisi ndogo ya chama’’ ?

Kukaa bila jf ni tabu sana mkuu

Watakuja wengi tu sema tu hii nayo waiweke pale freebasics haha

Mimi jana nimeshindia tangawizi na panadol aisee, uraibu kitu kibaya Sana mkuu

Haha mkuu uraibu unatutesa sana Hii imewapa shida watu wengi sana mkuu taratibu tutazoea

Mmh unataka ubwerere.

Mkuu sio bwerere

Jitahidi kutafuta MB

Usijali hapa uhakika ndo mana nateleza tu hapa

kuna watu nilisha wamiss tayari …mshana ukuje huku

akija naomba unitagi

[FONT=tahoma]Kina Barafu inabidi waalikwe wadau[/FONT]

Atakaye mwona MaKUFULI mwambie toka hapa Kenya twasema yeye ni ms***e kabisa na akome huo ubaradhuli wake wa kuhujumu raia wa kawaida.Ni kweli maskini akipata matako hulia mbwata…Hivi mamlaka yamemfanya kuvimba kichwa…shenzi sana.

hahaha

Nadhani lazima wafanye mamluku waingize watu wao wa kuvuruga na huku pia

@Pascal Mayalla kashajiunga, bila shaka atawaalika na wengine zaidi wabobezi wa jukwaa la Siasa

:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D

Aiseee, nice to hear… Sasa Jf inahamia Kenya kwa muda