Jamani wale wenyeji wa jukwaa pendwa la kule chini kabisa tunafanyaje huku?
hebu nipeni mwongozo(wakuu) villagers wenzangu,
Jamani wale wenyeji wa jukwaa pendwa la kule chini kabisa tunafanyaje huku?
hebu nipeni mwongozo(wakuu) villagers wenzangu,
huku halipo
labda tuwaambie waliweke
Na jukwaa la photo halipo
Nashangaa…yani ya huku ni tofauti na ya kule kwetu TZ
yaani wee
Tutazoea tu twende mdogo mdogo
Tutakonda sana mwaka huu
Huwezi kunenepa ukiwa ukimbizini
it’s time tupate ka gurupu ka wasapu memba wote wa jukwaa la wakubwa au sio
Naku support kwa asilimia 100 Evelyn
Tusubiri Ramadhani iishe wazeya…
Due! Nilikua natafuta namba yako nikuite huku kumbe umekuja karibu
Uko watu wataombana mbunye hadharan eve!
Kwani kuna ubaya?
kizuri kula na mwenzako.
100%
Mkuu kama mbunye zipo kwanini wasiombe.?? Wenye nazo watazitoa tu.
Ulichopewa bure dhambi kumnyima mwenzako
Unataka kutumika na watu wasiojulikana nini?
Me nakuomba basi wewe, nambie nikufuate chemba
LIA unaogopa kuombwa mbunye? Ha ha ha