k1

Mwenye ako hapa akuje ninunur moja

picha…
umepark bike vizuri?!

3 Likes

Bike iko poa iko safe…nyororo na padlocks mbili

2 Likes

Nimeingia kuliza mmambo ya black mambo.
P.s mbisha

Aaah ata nyinyi mumekuja sana…picha kila time? Nimeenda herisquare sasa…mwenye ako huko asema

kama hakuna picha ni hekaya tu

Ni place gani poa ya ku watch boxing ya mayweather na paq?

There used to be a guy who posted night scenes from these pubs, hakuna mtu anaweza tupea uhondo?

TV I guess since you cant make it to Vegas.

2 Likes

:smiley: :smiley:

Wewe ni ugali sana

tunangoja mbisha na pia cheki maneno

1 Like

Mbisha ya cheki maneno nitaweka soon