KUKANA makontena kama ni yake au si yake, wala kutishia kuwashitaki TRA – mamlaka ya mapato Tanzania – na wizara ya fedha, hakuondoi ukweli kwamba wao ndio walitangulia “kumshitaki “kwa mamlaka nyingine, kama barua hii inavyoonyesha. Bonyeza usome mwenyewe. [U][B]Makontena[/B] ya Bashite[/U]
Nadhani kuna mtu atakuwa anajuta kuifungia JF. Huku ugenini tutapata habari zote - mpaka ratiba za Sizonje kwenda kwa cheupe - bila censorship. Matokeo ya kuchamba kwingi hayo.
Biashara ya matangazo ya JF itapata changamoto kwa kuhamishia ofisi Kenya.Makampuni ya Tz yatakayotangaza biashara zao JF ,serikali itayachimba bit kama ilivyokuwa kwa mkataba wa Mange Kimambi,Blogg ya UTurn na vodacom!