Kalewa Sacco: Kufagiliwa na Kunguru Edishen

kasaman

Village Elder
#47
Enyewe kunguru hafugiki. Jana nimeenda katrip, sasa nikiwa requim mass hapo holy trinity church Kile, nikapigiwa simu na neighbour, akanishow "jirani kumbe unahama na husemi " , nikamdismiss nikamwambia amekosea, akanishow "ukweli mama nanii ameleta lorry hapa vitu zote zinabebwa". Nikasema acha nimcall ni confirm. The hoe alikua unapologetic na kunisho amechoka na kufanyiwa madharau na kuhanywa (na hakuna kitu kaa hiyo, she's just so paranoid )na amebeba vitu zake tu. So nikaambia caretaker n jirani waache aende. Later nikaconfirm amebeba nini, my friends niliambiwa alibeba karibu kila kitu. Leo kufika kwa hao napata nimeachiwa tu dustbin, soap dish, nguo zangu na toilet brush.
Before mtu anijudge, mtu akuwe na facts.
Mimi sasa naingia hapa kwa Kaloki nikunywe Gilbeys na faxe nikitafuta kabedsitter kwaja
Reminds of a nigga ,got the same call ,rushed home to find everything in the house cleared and th e Lorry moving. He managed to jump up ! Akiwa kwa gari nasikia napigiwa simu 'mtu wangu, eeeenimehama nasijui naenda wapi , lakini nitawajulisha !'
Kumbe the wife was tired of the nigga drinking problems !
 
#60
Kuna boy wangu he works in Britam, 2013 October to be exact, jamaa fresh employed akanunua vitu kiasi kwa nyumba, out of feeling like a master juu ya pesa kapata dem, jana wakalipwa 24th on a Thursday siwezi sahau, wakaserereka salo yote by 29th pesa imeisha,, jamaa the last 1k akaamua kufukuza mtu nayo kaa fare na kaenda job, key apee caretaker. Weee jamaa alifika nyumbani jioni, hana pesa hana vitu dem aliepa. Msee salary ya kutumia November imeisha October 29th. Woooiiii jamaa alianza kukula chai na KIDANCE ya ofisi kaa shiet, juu anajua hakuna lunch ama supper.
Jamaa alikua akifika kwa hao usiku, hawashi stima anaingia ivyo tu kwa nyumba adi bedroom, anajua njia, anagonga kitanda na mguu moja alafu anaruka kwa bed hadi salary ya November ikaingia.
Up to today we usually laugh about hii episode.
 
Top