[ATTACH=full]180076[/ATTACH]
HAPO KWENYE $ 2,200
[ATTACH=full]180076[/ATTACH]
HAPO KWENYE $ 2,200
duhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
Ttalk sihami ng’ooooo!
Sheria kama za kikoloni. Kuna baadhi Watanzania viongozi wenye dhamana hawajimbui,wao lao kumfurahisha mkuu.Tuna haribu taifa.
Aisee
Hyo Avatar mkuu utadhani umenyeshewa au upo Iringa kwenye baridi.
OK, hawa viongozi wakiwa Raia wataelewa nini walikuwa wanafanya
Ajira mmpe wenyewe kisha mlalamike wenyewe
Hapo sasa?! Siku ya kuchaguwa twaamuwa kulala!
Wana angalia na exchange rate ya wakati huo?
Inasikitisha sana…
Wanadhani mitandao ni kama vile daladala ambayo unaweza kulisimamisha unavyotaka na kulitoza faini…
Cc: @Mahondaw