Kama ingekuwa ni...

Corruption and poor leadership tubgekuwa first world will many Nairobi spread across the 47 counties
[ATTACH=full]326699[/ATTACH][ATTACH=full]326699[/ATTACH][ATTACH=full]326700[/ATTACH]

Those buildings are a sign of a declining economy, kwenye pesa imekuwa parked kwa kokoto na chuma na simiti, sababu hakuna place ingine iko thriving mtu anaweza weka pesa zake.

Mtu mmoja anaibia watu 10 million, anawekeza pesa kwa ghorofa tano za 50 floors, watu wa statistics wakikagua zile pesa ametumia kulipa wachina kujenga izo ghorofa…wanasema gdp imekua kwa kiwango kikubwa, kumbe maisha ya wananchi imefanya kudhoofishwa

there is a very high possibility that those office buildings will never have full occupancy and many might even convert some if not all floors to residential spaces.
also, the time for building malls and large offices is gone, most construction will be residential houses. (except for those with money and government projects)

How many people sleep in the city?

not many.
but most of the new offices and malls are being built in areas that had residential houses.

Is that an answer?since we uprooted coffee and built those skycrappers you can guess what to expect

Very true. Hiyo inakaa accordion hapo juu iko na 50 floors na haijawahi kupata a single tenant since it was completed in 2016