[FONT=courier new]Ninachojua baadae Saa 3 usiku Uruguay hawataniangusha Kipenzi chao GENTAMYCINE kwa kuwafunga na kuwafurumusha mashindanoni Portugal wakiwa na ’ Shoga ’ yao mmoja asiyejua mpira na ninayemchukia kuliko Shetani Mkuu Lucifa.[/FONT]
[FONT=courier new]Malaika Mkuu Lionel Messi akitoka ’ mashindanoni ’ haiwezekani Shetani Mkuu ’ Lucifa ’ akabakia na kuendelea na ’ Mashindano ’ haya ya Kombe la Dunia yanayoendelea huko nchini Urusi.[/FONT]
[FONT=courier new]Ewe Mwenyezi Mungu najua siku zote huwa unanipenda na kamwe hujawahi hata siku moja kuniangusha pale ninapokuomba hivyo nakuomba tena ifikapo tu Saa 3 Kamili usiku fanya kila uwezalo Timu ya Taifa ya Uruguay iwafunge Portugal ( Wareno ) kati ya Goli 5 au 7 kwa bila / sifuri ili roho yangu ifurahi na moyo wangu uwe na amani.[/FONT]
[FONT=courier new]Nawasilisha.[/FONT]