Kangalicious

Long before anyone had thought of producing T-shirts with slogans, East African women were wearing Kangas with often mischievous or coded messages.

[ATTACH=full]177954[/ATTACH]

[ATTACH=full]177955[/ATTACH]

[ATTACH=full]177956[/ATTACH]

[ATTACH=full]177957[/ATTACH]

[ATTACH=full]177958[/ATTACH]

[ATTACH=full]177959[/ATTACH]

[ATTACH=full]177960[/ATTACH]

“Panua paja mkwaja waja”

Sasa kanga kama hiyo ukikuta kavaa Mother yako si utaona soni?

yah ila leo ni mizigo toka hapo china. usa. uk n.k

“Mke mkuna nazi coomer i wazi”

Kuregea ni kitu gani?

Elewa …
Kisa na Sababu ya hizi Kanga ni kupeleka Ujumbe fulani chini ya Maji …
Hazivaliwi Ovyo-Ovyo au na watu Wakongwe …

[ATTACH=full]177966[/ATTACH]

Unlike your average Slay Queens , these Women have to be very discrete in their Public transactions with Men …

Hiyo ni lahaja ya Kiswahili [ … aina ya tamko …]
Neno utaelewa pale ni " Kulegea" … kwa hivyo …
“… Nishike Unikande , Nikilegea Unipande. …”

Tuko Pamoja Sasa , Ndugu Yangu …???

Tuko pamoja sasa. Ngeli ya ara ero.:stuck_out_tongue:

“Mkuna Nazi Kuma iwazi”

Kiswahili kifukuzwe…ina wenyewe

https://www.youtube.com/watch?v=Zd2G5nsQN3g

She can gerrit!!!

Ooh yes she can, wakiwa na muthoni wa mukiri that would be a perfect threesome

Nano anakamuanga hii kitu?? Unye am a?

[ATTACH=full]177999[/ATTACH]

[ATTACH=full]178000[/ATTACH]

wacha tusianze speculations hapa:D Na hii post si walicreate tu na hata ile ingine ya Munira Mohammed or sth…

Hizi zina lugha safi sio kama hizi za kwetu coast

I like this thread very much.

Hizi Kanga zipo aina tatu…

1/ Za Watalii
2/ Za Wastaarabu
3/ Za Wakware

Chaguo ni lako wewe mnunuzi…

Hehehe…
Itabidi nicheki na Ustadhi flani kama kweli hio ni Methali muafaka…