vipi wadau, miezi sita iliyopita, bibi yangu kagundua natumia bangi… tuliongea na nkamwahidi kuiacha… leo amepata viwili na kiberiti. kanionyesha na kunyamaza… anapanga nini??
nvchieth
hakuna kitu anapanga. ameshajua wewe ni tumbili ni hivo
Apanga special diet ya steel wool and crushed glass…:meffi:
wooi
ikue ikue
Kama mbaya mbaya futa fagi usiwache
The real question here is… How do u hide ‘weed’ smell and behavior for more than six months
whats the big deal there, passive smoking ya nusu per day mtu hawezigundua. kuficha ni rahisi… in the attic
Mradi umpe mkeo na wanao mapenzi moto moto. Nakuhakikishia hakuna lolote bovu litakalotokea. Ni wangapi hawavuti ile hali hawajukumiki makwao?.
Samahani bibi au mke?.
acha kujishebedua mwenzangu, sote twajua ni kutupumbaza tu. Waogopa jiko sembuse bangi. bana watubeba, hulka zako tu zanena .
ishia bana
Billy Drago umefufuka?
hiyo ni kusema nini. sikuelewi kama ineos 1.59
Tom Bayeye :D:D
Anapanga kukusugua mkundu kwa mushakwe mmoja
ufutaji kama uraibu haudhuru kazi yangu
Tangu lini ikawa unatumia bangi ? Tafhali wacha kuituia ,you will mess your life.
Or rather, what would you do if you found out she has been smoking all this time?
bora unavutia kwako…