[ATTACH=full]12630[/ATTACH]
Junk
pilau njeri.
seminar itaisha saa ngapi?
Lunch kaa hii na vile mwezi umepiga corner jameni hii ni seminar mtu wangu.Kubali yaishe.
sawa basi ni seminar lakini si ni mchele tu na nyama kwani hiyo hupatikana seminar pekee
Hata mimi nimeangukia. I live to eat.
[ATTACH=full]12646[/ATTACH]
Due to pressure from Nefertities that we are mean with ourselves, I passed by a supermarket and among my other purchases picked a can of Sardines, the thing weighed 105grms and was selling at 120 shillings. On reaching the cashier’s till, I looked at the damned thing again, picked it and told the cashier not to include it, paid for the rest and left it right there. Wacha nikanywe pombe.
Nyinyi ndio wale mnakunywa pombe ya 5k halafu mnakula mitura, maraa na soup hapo nje ya bar because you value booze more than food.
He he, not me I take good care of myself and at home am fed till I ask, ‘my lovely domestic helper, you want to kill me with food?’.
Sawa. But it is something I have observed in men who hang out a lot.
Hizo vitu umetaja hapo juu huwa tamu sana ukilewa. Kwanza hiyo harufu ya mara ya mbuzi ikichomwa…uuuwi
hii picha hunibamba…no wonder buttons zimeanza ku-protest…
Kabla ya kupiga mitungi au kinywaji chochote kile, kwetu twala pweza wa nazi kwa ugali.
Good on you. Sardines ni Omena kwa jina lingine.
hehe those things are quite delicious kwanza akiwa na kachumbari ya pili pili kando, safi sana
Haha, hio mitura ni ya kuongeza utambi