karibuni lunch...kibandaski manenos

https://pbs.twimg.com/media/DP9IadyXcAERXpo.jpg:large

hio ni food mimi hukula breakfast @Jirani leta ile picha ume save yangu ya chakula ya umbwa ya patel :D:D:D:D:D , lunch sembe na nyama lazima then nifunge mlango nichape pawanap ya 45 minutes mbaymbaya

Yaani hiyo food ni 130/

Sawa cashier.
Kunia ulale

utatumia guarana na chips i oil mkia yako ?

Wacha mchele na madoido, hio ingine ya yellow ni nini??

:D:D:D:D:D

hiyo inakaa waru

waru mtu wangu.:D:D:D:D

DO1 uliacha umama

ndio hio man.na ni moto kuruka…leo nakula chakula ya peasants coz sinaga class mimi.i fit anywhere

:D:D:D:D
Meffi wewe

:D:D:D:D:D:D:D:Duncle umeanza fombe mapema sana

Kama wewe chief mmama hujaacha na ninakufuata, mbona niwache??

[ATTACH=full]142468[/ATTACH]

Ni kubwa baba labda iitwe kuwaru

kama hajawacha leo Guarana zake on your bill pamoja na mshikaki

Shoga kujia guarana, meffi

Mimi nkikula chakula kama hiyo for supper, nitapata nightmares, so ntaamka usiku nipike sembe ndo nisipate nightmares

Na unalipa ndio order ifike kwa meza :):):slight_smile: