Karibuni

weekend imeanza mapema[ATTACH=full]11386[/ATTACH]

1 Like

No. Never. Neh. Nefer. Nefertitis.

1 Like

enjoy, be safe…

Hiyo pombe sijaitambua ; ni First generation ama ni Second Generation?

Whatever you do…

[ATTACH=full]11391[/ATTACH]

1 Like

Tulia boss buda . ingekua mzinga ya mtembezi si ungeweka ribbon kama ile ya admean Obama akiwa kenya??? khasia

@Unicorn ananikujia leo. so sina wasiwasi!

q

Biraru…sukari imekuanza mapema.

what do u mean? sukari?

Watu hukunywa Balosi mostly ni wale wako na ugonjwa wa sukari.

Umeset huyu karau into panic attack

@Electronics4u and @bjurmann when did I become a verb? :D:D:D:D

2 Likes

I thought there is still Friday left before we call it a weekend or these days it starts earlier?

hata mimi nitaanza kesho by 5.01 pm.

Did I hear my teacher say that a verb was “doing”? @Nefertities @MulikaMwizi please help me here.

The Grammar Squad needs to make a formal statement. Lets wait for them to wake up.

…inakaa mkojo ya UwesKamau bwanaa…

tuelezee zaidi…kwani ungle wetu ni homo ama mlitoana na mikojo yake wapi?

@gashuthy…ngojea aamke ndo acum akuelezee…

Apo ni wapi weather ni fine hivo na akuna motutho