Meja alikua amevaa dress weag kwa kichwa na amebeba kibeti so walikua wanadhani ni matha wakienda kumnyang’anya kibeti ndio aliangushaa uyu fala na wawili wakahepa…
they got story to tell…[ATTACH=full]32758[/ATTACH] [ATTACH=full]32759[/ATTACH]
Meja alikua amevaa dress weag kwa kichwa na amebeba kibeti so walikua wanadhani ni matha wakienda kumnyang’anya kibeti ndio aliangushaa uyu fala na wawili wakahepa…
they got story to tell…[ATTACH=full]32758[/ATTACH] [ATTACH=full]32759[/ATTACH]
yake kwisha
Kula jasho yako!!!
Did he dress like that to trap them or it’d his way of dressing?
he always doo crazy things like kujifanyaa masaai, makanga n now a woman
blood akuna
you think its potoshop?? kafiri ww
Bona kiatu haijatoka ???,huyo hajakufa !!
na
nani ame ongelea photoshop fukara ww
nice story but rudi shule its called a wig
Naona hapa kuna monologue ya Jirani.
enyewe crime lazima ikanyangiwe brake
wakufe tu feel nada
Pan tambua takataka
nani ako na ya bus station nbi
Mbona viatu hazijatoka
if the shoe dint come out then it never happnd…
Mejia ni Nani? Sisi ambao sio wakaaji wa Nairobi hatumfahamu? Yaani siku hizi hata kuibia mama kibeti watoto wanaenda na bastola? What happened to the respected time tested style ya
Jambazi "weeh Mama leta hio kibeti hapa?
Mama. " shika…iko na ID yangu
Jambazi " sawa nitaitupa pale mbele
And everyone goes home happy
@Meria Mata leo GPO jamaa ka snatch simu …jamaa akakimbizana na yeye …mwizi aka mkataa wrist na kisu…raiya ikashika uyo mwizi twanga karibu kufaaa fala akapelekwa central na uyo hero hosi…
crime sio poa jo