Kdf deployed to congo

Factory ya ruiru inataftiwa job by force

[MEDIA=facebook]1220669148077464/posts/2401004720043895[/MEDIA]

Hii ni platoon ingine inaenda ama?

acha vijana wafanye kazi

Cheki vitambis banae

Get ready 4 nightmares n ptsd. Drc is hell

Newly minted millionaires in the making, my neighbor Tomno made his millions in Sierra Leone peace mission back in the 90’s.

Kuna ka boy kalikuwa recruited huko ma 2018 2019…hata sikujua untill aliporudi home aka anza kusort out grudge za kiutoto za zamani by ku chapa chapa wadhii…si kwa ubaya but akirushwa hio new theatre of syeke na awekwe vanguard a few villagers i know watasherekea.
Guy is an arrogant ass.

Hawa watu hujiona wanoma sana, wakitoka barracks na wakikuja home wao huchapa watu sana ndani ya clubs.

Hii sasa ndiyo huitwa kuwa battle hardened? Hizo misitu za congo tutawezana nazo?

Jackpot hiyo hizo gold zita jenga flats all over nairobi

Vijana waende wakakule hizo mali ya Eastern Congo. Kagame na Museveni wamekula vya kutosha.

All the best to them

Vitambis and Quick Reaction Force. Great banter

Iteni @Mturandom amalize hii maneno.

Same to rogue boxers and martial artists mitaani.

I find martial artists some of the most disciplined chaps, no reaction unless aggression gets very escalated

Yeah but we also have half baked rogue martial artists who tend to abuse their fighting skills.