Kenyatalk

hii background hamuwezi weka ikue dull kidogo?

:mad::mad::mad:

:mad:

:eek:

supu and co kwani keyboard zenyu zimeharibika? ugui biu

Unalinganisha na gani ??Kila nyani na …

madova alienda wapi?

1 Like

MADOVA AKO WAPI WAANZE VITA

utotology percentage = 101%

@uwesmakende vita tuliwachia KDF
@highschooler utoto inakujia wapi apa? ni maoni tu

@Madovah hizo pereka krost

tunangoja madova akuje aiweke

@highschooler senji
@fala12 vipi jamaa wa kathonzweni, naona umejua kuongea

Karibu sana njegeke ino.

1 Like

Bloody Admorons wameweka section ya maoni. Jaribu uone kama watakuskiza.

Punguza backlight na uzoee darker screen ama macho ipotee ungali kijana. If you are using these modern phones(especialy samsung) too much ole wako. You would rather use a laptop at a distance. habits die hard though.

1 Like

@Madovah ile shida ulikuwa nayo ya pesa iliisha?

@Mwenyewe kwani unafanya na treasury ju wewe ndio hujua watu wakiwa na shida ya pesa?

But you had asked listers for advice in klost…ama ilikuwa ni hekaya tu

o_O