Kericho

Kondakta nipe tikiti!
Niende kericho!
Nikaone mutoto!
Mutotoo ananingoja!
Stand ya bus,Fanya haraka!..ahsanteni ndugu zetu kwa kutupa makao

I don’t understand. Unatry kusema Nini Ni simezeshi buda

Mimi naona ingeanzishwa na kamusi humu ndani,lugha gongana sana

Hii ni nyimbo nadhani iliimbwa na daud kabaka.enzi hizo.old is gold

Wazungumzia kuhusu huu wimbo

https://www.youtube.com/watch?v=KaSj_NRL8ww

Sasa hii ni copy not original

https://www.youtube.com/watch?v=DND-EbmylmY

Niceee

Tupo uhamishoni kwa mkopo! Ya ugenini tutayazoea tu