Kihii Kiaganu pale Njogo-ini Annex

[ATTACH=full]242148[/ATTACH]

:smiley: tupatiwe menu

nani ebu ficha hii kabla ya @Panyaste akuje

Tomatoes missing

Hakuna waru?

and that is why you don’t marry from cendro…

Na cabbages? Na avocado?

Iko kwa foundation na pawpaw

Iko kwa plate ingine

Kiaganu yeye huwa ana mix zoote pamoja

Mbona huyo jamaa ameonyesha matumbo madharau kiasi hiki ?

Hii unaikuta na sembeste

weka machakula hapa

Thubu ni kidogo sana. Those vegetables are supposed to be drown in soup…drowning!

Hii ni zile hubaki inakuwa mixed na kupewa chokosh.

If you eat that food, @Mshutaji Hodari will have nothing on you.

Hata carrots hakuna

Umewai kula unripe pawpaws in stew, very good if done well

Waaa hii ndio jeshi ya thurakus ina kula !!

hii kitu ni tamu…kwanza uongeze kafirifiri…shida tu ni inakuja so many stomach complications ie. amoeba