[ATTACH=full]84762[/ATTACH]
Jamaa kapiga U-turn pale na huku mwenzake akielekea changamwe anakuja akiwa 140, ni bahati hakuna mtu amekufa
2 Likes
The hell was he thinking?
G-sas good thing haikua euro truck…
1 Like
Hio ni illegal turn alikua anajaribu?
Hiyo haikai impact ya 140kph. Sema tu alikuwa anaenda kwa muendo wa kasi.
1 Like