Brian Kibet Bera: Niko na shida… Kukaa kwa police cell nineumia … Sitawahi rudia makosa hayo tena na ninaomba Rais Kenyatta pamoja na wakenya wanisamehe [ATTACH=full]246023[/ATTACH]
This is a real issue, mental illness is real.
Si alisema yeye ni prince of ethiopia.:D:D:D. but he had good issues
Kijana vuta vitu safi…
Huyu najua hizo wiki mbili amefinywa makei na maneighbour wa La murder