Kikosi cha Jamaica chawasili Russia salama, angalia picha

Hiyo picha sio ajali, huo ni moshi wa kitu cha Jamaica kikipigwa na timu hiyo[ATTACH=full]175657[/ATTACH]

Duh

Maraia wapo high

Yap

Noma sana

@Sijuti najua unaelewa haya maneno hebu turushie bomu moja tokea TZ.

Hahahaaa

Hapo ni mamoshi ya bangi tu ndegeni

hahahaaa

Hahahaha. Kwao ni raha sana, sigara bwege yavutwa mpaka ikulu na bingeni

Bangi nibangue

Iko Bomba hadi msisimko

maras ndani ya putin kama wanavyosema okoa division one

Hivi…
Jina ya huo mmea ni Bangi au Bange?

Bhangi

Wavutaji utawajua tu… tehteehhh

hahahah, Rudi JF kila kitu kiko okeee. hahahaha