Kiswahili endelevu

Allan wahsalan ni ijumaa nyingine njema tumewezeshwa kuiona na twashukuru. Tutajizatiti kwa hali na mali kuendelea kuyanoa Makali ya uweledi wetu wa lugha ya Kiswahili na pia vilevile kutandua tanda bui kwenye bongo zetu.

Msamiati wa Leo
-Cobweb…tanda bui au utandu wa buibui
-Maize Cob…Gunzi na sio ‘msogoro’ kama tulivyokuwa tukiita tukiwa wadogo.

CHEMSHA BONGO

Tafsiri maneno haya;
i) Nauseau…
ii) Wink………
iii) Mirage…
iv) Honeymoon…
v) Elezea ‘miziki ya ala’ ni miziki aina gani?

Shukran wangwana!

i. Nausea = Kichefu:confused:chefu

1 kizungu zungu
2. Kibonyeza macho
3. Hekaya
4. Jela ndogo
5.alaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahuuuuakbar ukitumia gita

Kisunzi

Wink… Konyeza

Honeymoon…Fungate

@admin as you mull over what title to give @introvert think about giving this Kiswahili guy @xuma a section

i) Nauseau… kichefuchefu/ kitefutefu
ii) Wink……… konyeza
iii) Mirage… sarabi
iv) Honeymoon… fungate
v) Elezea ‘miziki ya ala’ ni miziki aina gani? Instrumentals

I know Fungate, same Street as Westgate but further down opposite the car wash… Hehehe…

Wank-Kujikamua

Mwezi asali, yaani mwezi mtamu… hehe nipe zawadi sasa

I only know of hangover=marue rue…

Nilidhani Maize cob pia ni kiguguta au nimekosea?

Hapo sawa kaka umepata.

Kongole kwa kujaribu lakini haujagonga ndipo mjomba.Kumbuka ukiyabonyeza macho yataumia!:D:D

Umenoa lakini ahsante kwa kujaribu.Kisunzi silo jibu mwafaka.

Vyema kabisa! Umegonga ndipo. Mbona hukuyajaribu yale mengine?

Mshika dau tofauti ya like Na love kwa kiswahili…

Shukran kaka.

Kwa Mara ya kwanza baada ya kuanzishwa kwa jukwaa hili, @bababibitoto ndiye wa kwanza kuyapata maswali yote kwa usawa.Kongole kaka!

Fungate ndilo jibu kaka.Kongole!