Ahlan Wasahlan wanakijiji wapendwa. Nina wingi wa matarajio kuwa mu bukheri wa afya! Karibu tutie makali Kiswahili chetu.
MISAMIATI YA LEO.
Leo tutajikumbusha majina kadhaa ya wanyama na wadudu.
-[B]Crab…Kaa
-Python…Chatu
-Beetle…Sururu au Dundu au Bingo
-Rabbit…Sungura
-Hare…Kitungule au Kwanga au Wibari
CHEMSHA BONGO
Elezea haya majina kwa Kiswahili:
-Millipede…
-Leech…
-Centipede…
-Cheetah…
-Cobra…
-Caterpillar…
-Tsetse fly…
-Wasp…
-Squirrel…
-Praying Mantis…
hehehehe, hamna sharia, mie nilikua naku kera tu kiasi, usiuchukue kiuzito, asante lakini, nilikua nataka tu kudaka hiyo ya Cheeta-Duma
roho ilikua imechafuka kiasi lakni sasa iko swafi na kunjufu (oswayo ni ngumu)
Elezea haya majina kwa Kiswahili:
-Millipede… [SIZE=2]sijui[/SIZE]
-Leech… [SIZE=2]nafaa[/SIZE] [SIZE=2]kulijua hili[/SIZE]
-Centipede… mnyoo
-Cheetah… duma
-Cobra… huyu nyoka asili na makao yake bara Asia. Analo jina la Kiswahili kweli ?
-Caterpillar…
-Tsetse fly…bung’o
-Wasp…
-Squirrel…
-Praying Mantis…ugoka[/B]