Wale hatuko overweight lakini kitambi inakuja na fujo tufanye nini? Na mambo ya sijui hakuna kukula from 3pm - 10am haiwezekani.
Kimbia
sit ups na ukimbie
invest in a roller
Jaribu swimming… huwezi drown.
so you are a skinny fat man ?
Ongeza utambi kabisa. Very much recommended…
Uko 30+?
Punguza pombe. Alcohol inhibits fat burning kwa damu. Mpaka gauge iishe kwa damu ndio mwili irudi kuburn fat.
Pia ka we ni fan wa ugali sana punguza pia.
Mimi tumatako na tumiguu tunaendela kukonda nayo kifua na shingo kunona na sisumbui
hio ni kitambi ya umaskini utasota kidogo tuu ipungue urudi normal
Consider cycling. It has worked for me.
Apana. Only 24
Can’t, wacha nikae na kitambi, kwani iko nini?
Then uko na shida
With time that fat kwa kitambi will inhibit flow of testosterone hormones, then making love [SIZE=1](NB iv used a pink handlers appealing language)[/SIZE] will be a problem. You know there is something you need to do. Figure out na ulete hekaya
Si tuwache wale wanataka usaidizi wapate Ndelefa.
Enda uzae
Mimi kitambi yangu iko chini ya maji. Haionekani