How do i get a belly, (kitambi) quickly. , saidia captain
Fobe na nyama daily…Avoid thanking me at all costs…
how long will it take to develop
Kula chakula nyingi very fast Na usikunie. Very quick method.
Help the captain, prizzz
Wala usinyambe
Guiness nne daily, nyama ya mbuzi, sanasana tumbukiza.
Hio hukam kama unakula poa na unakunywa beer daily. Food accompanying the beer itakua fry kama half ivi, fish, kuku ivi. Alafu ulienda home unakula tena. Morning brekko ni kila kitu pia.
Sante sana
Kitambi ni kifo
kunywa tu Busaa 2ltr na Uji 2ltr kama Tot ya JD na Chaser, thank me now
Naona unatafta “the sponsor look”
Kula carbohydrates mingi na ukunywe beer pia kwa wingi. Ukiona progress ni slow, kunywa elianto live live.
Hii kitu ni noma boss wachana nayo. Najaribu kulose lakini wapi. Na sikatagi maji hata.
Ukiwa na kitambi
Utamangiwa pipi shait
Kitambi niya nini unataka captain.
Myth busted.
Enda ukule mawe ya quarry uteremshe na elianto litre mbili
please talk to kihii akupe recipe
Hii kitu ni shida wachana nayo