Nimeangukia contract ya kujenga nyumba ya gorofa tano na kazi ishaanza.There was a time nilikuwa nafanya mjengo so nimeona hii siwezi acha inipite tu hivyo.[ATTACH=full]125264[/ATTACH] [ATTACH=full]125266[/ATTACH]
Endelea kunukisha ndugu
wale vijana wa gaza hawawezi fanya hii kazi?
Kweli hii tu finje tunaokolea big time. Hiyo naona ikicollapse.
Safii boss… Ikifika kwa painting nishtue nilete a very good contractor nikule ka.commission pia.
Chunga Infinix NOTE 2 isianguke kwa matope.:):):)
Wiring niko ,certified .
Mpaka naimezea mate. I need a side project sai kenye nko nako ni kadogo. But kunayo nategea ya 6 storeys next year ivi but should you need to sublet some quantity lemmi know
Congrats bro
inuke kunuka
all the best
watoe jasho wakanyage matope kama nani?
Nice.
35 1-br @10K=350k/month.
Whats the plot size, na itakula pesa ngapi kumalizika?
Hii ni project safi sana
Congrats! Valisha hao majamaa helmet, NCA wako njiani…na usisahau kuweka signs, utawanukishia kitunguu pia
Hapo sasa. Jikaze kimwanaume.
Congratulations…following
Ukijipanga vizuri unaweza jenga nyumba yako pia na hii pesa. Good luck.
huo ni wizi. good morning?
mchanga naweza leta boss
Sorry mkubwa, I’m not saying he uses this project materials but from the income he will get from this job.