Next time nitakuwa no 1, Kama Hauko top 10 pole.
[ATTACH=full]183920[/ATTACH]
@kermit please create the EPL fantasy group na unipatie invite code nilete watu
Next time nitakuwa no 1, Kama Hauko top 10 pole.
[ATTACH=full]183920[/ATTACH]
@kermit please create the EPL fantasy group na unipatie invite code nilete watu
kuna siku nilisahau kuweka bench boost (round of 16). 20 points zikaenda hivo tu
Nilimaliza na 249 points. So Sterphylococcus nimemtoa top 10…hehe
Ati NYS looters FC
[ATTACH=full]184019[/ATTACH]
wat are you humans talking about
Football, mbona unakuanga nyuma hivyo?
Trying to assemble my FPL team…
Are you guys leaving out the people who featured in the WC ama you’re bringing them on board immediately?
I’ve left them out, hoping to integrate them pole pole as the season progresses.
Or are there any stars that you think will play early?
Akina Salah maybe? Guys who didn’t proceed far?
Hiyo bei ya Salah inauma
Lakini last season alinijenga points kama zote.
Yeye na Sane alikuwa on fire
wadau naona mmeendelea.
FPL KTalkers code ndio hii>>>> 812557-182084
cc @Deorro