Kuchota Maji Sana Pserko

Leo asubuhi nimeshinda nikichota maji Sana #ferknairobiwater and couldn’t help but notice 90% wa wale walikuwa wanachota maji were women. These were women with children and couldn’t help to think where were their husbands/men? Were they in the house just relaxing, wamepikiwa breakfast, bibi aende achote maji, wapikiwe lunch et al. Today is Sunday so hawajaenda kazi, and doubt wameenda church.

Kwani kuchemsha tortoise unahitaji mitungi ngapi?

Kayole si kupoa kuishi

kwenda leta mbisha za hao women

Kwanza unajaza drum zile kubwa:D:p:D

Macho itachafuka zaidi

Afazali nilipie maji unit moja mia mbili na stai ikosa.

oa upate mtu wa kukuchotea as you lounge on the couch Ktalking…

If privatising water would ensure haitawahi kosa, wouldn’t mind paying more at this rate

:eek::eek::eek:Bibi hawezi chota maji nikiwa kwa nyumba nefaefa

so kutokana na hio statistic yako kuna 90 percent chance kuwa @Gio ni mwanamuke

Sass wewe huwa unaongea unasema nini,unafikiria maji huwa manufactured ukitumia pesa,?panda miti mijinga

hamia kajiado

Peasant manenos Chef Raphael Bonoko.

Mimi sijaoga vizuri the last one month…story za kuration maji ya bucket si poa

Kuchota maji ni kazi ya wamama na wewe una umama

Baba alisema mrudi kwenu

Gio una mambo

Huwa inachukua mumama kujua mwenzake

Shaitan, utakaa kitako kwa kiti bibi aende kung’ang’ana na mitungi?