Kuna watu maisha hayaendi bila maigizo

Yani unashindwa kubuni mikakati ya kudhibiti uvuvi wa samaki wasiofikia kiwango unakaa kupita kwenye masufuria na sahani migahawani kupima samaki waliopikwa na kusinyaa.[ATTACH=full]177596[/ATTACH]

Daaaah nimeiangalia Hii nimejikuta nacheka Utadhani Ni mazuri

Hapo unakuta aliyeendesha hilo zoezi la kipuuzi ana PhD. Hivi hao samaki wanapatikana ziwani tu. Mbona sasa hivi watu wana mabwawa yao binafsi wanafuga samaki wao na kuwauza muda wowote wapendao?

Hahahahahaaaaaa
Inapendeza zaid

Ni shiida

Hili ni drama la kitoto sana

Aibuu

Haaahaaaa pumbaaaaavu hao waigizajiiiii

Awamu hii…

Hahahaha. Kweli dunia ina mambo

Nikajua time ya kiki na search for publicity imeisha…kumbe ni zuga

Wanaendelea kutekeleza maujinga ya bwana wao jiwe, tuvumilie tu mpaka tukome maana tukiambiwa kuchukua hatua tunaanza kuogopa, amani ya kweli haiombwi, inapiganiwa. Kenya hongereni kwa kuonyesha mfano na sasa mnaheshimiana.

Wanaofuga samaki wao artificially je?..Hii nchi Mungu atusaidie tu

Mambo kama haya ndio hasa yanasababisha chuki kuongezeka kati ya raia na serikali yao.
Yaani hapo huyo mpima samaki alipaswa kutumbuliwa tena pasipo huruma, kwasababu ameonyesha vile jinsi alivyo mjinga/mpuuza na alivyo na uwezo mdogo sana wa kufikiria… Gaddem’it maza fanta

Producer wa hii movie ni Luigi Mpina, ndo kawaida ya awamu ya tano

Viongozi wa ovyo ovyo kama huyu ni janga kwa taifa.

Zamani nilimuona mpina kichwa sana kumbe Nazi tu kichwani

:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D ataanza kufunua masufuria.

sheria iko pale pale

Hapewi offer ya samaki au nyama kama Mwenye dhamana kaamua kumkomoa tenderal Wa canteen yeye sio mvuvi unampigaji faini mlaji