Kuna vile heka ya @pamba imenikumbusha vile kuna massai walikuwa wanapitia apo job kama wamebeba kibuyu iko na mchuzi inakaa red …na kila cup wauza 10 bob…ukimuliza ni ya nini anakushow inasafisha tumbo…
Nilikuwa naona watu wakichapa shot ya iyo fluid na wanaendelea na job kawaida…
Sasa siku moja massai aka insist kijanaa nunua leo bana usafishe tumbo hii kitu mzuri bana
Another thing mimi tangu nikiwa mdogo choo kubwa sikuwai enda kwa public toilets ata nikiwa chuo…
Sasa iyo siku sparta akawekewa cup moja nikachapa flash…it was not that bad…naye massai akaongeza half kikombe hii nimekuongeza…sparta naye akachapa flash na akalipa eroo na kuendelea na kazi…
Sasa shida ilianza after like 30 minz tumbo ika anza kuguruma …nika assume ikaguruma tena…
Nikasema nitajikaza hadi jioni nikifunga niendee choo home juu siwezi enda facilities za job…
Apo ndio sparta was wrong…
Kuguruma ikazidi nika anza kuona hii dawa ya ndao sio mchezo…sasa pressure ikazidi kwa tumbo na ata kutembea ilikuwa shida…halafu sikuwa natakaa ku fart juu naogopa aibu…
Ilifika point nikafunga mlango job ata comp sikuzima nikashow jirani nakuja…nikashuka stairs kama mtu amevunjika mguu na nikaingia tuk tuk hadi kejani…
Motion ya tuk tuk ilisaidia tumbo ikatulia kiasi…nikafika kwa gate nikalipa msee na nika anza safari hadi first floor…lakini kufungua tu ivi mlango naskia kublow…after kufungua ivi mlango kufungua mlango ya choo kushukisha trao nikaskia sauti ya ferrari…ata sikuwa nimebend…
It has so much force hadi kwa dirisha ya choo…
Wall mzima ilikuwa imejaa kinyesi bana…
Najaribu kutoka naskia kurudi tena…it was hell
Hakuna vile niliweza kurudi job
Halafu the cleaning ata sikuweza iyo siku …vile nilipelekwa na iyo dawa siwezi jaribu tena … Na tissue tatu nilitumia…kunyamba took me 2 weeks kupata courage to try
If l went to choo za kanjo sijui igekuwa aje na embarrasement