Kush yule mnono, nimeona hekaya yako

Umejianika
Jana nimejua condom sio protection ya bol tu na ukimwi,kama sio condom hii story sijui ningewachapiaje, sasa Juzi vile nilikifika ocha from Doha,yaani kavacation… Kawaida msee akifika mtaani hukua na mioto ya kumaliza dryspell ya gulf, so kuna huyo mboch next door nilikua nikichat na yeye na alikua tayari kunifungulia server… Sasa yeye alikua anadoz kwa kakitchen, kama ushawai ishi keja za kanjo eastlando utaelewa vile namaanisha kitchen design ngani,so game ilikua imechorwa kama robbery ya KCB ya Thika…ikuss na ipewe tu heshima akiamungu,so step ya kwanza ilikua hivi, once nikiona tu kumkum bhagya imeanza…ni sneak kwa keja yake(kitchen) juu saa hio wadosi wake hukua ritho wanawatch wahindi wakikuyu akina Abugi…, ilikua kitu 8:27 hivi,vile Inoro TV ilianza kaprogramme pap, ndio mimi huyo na “KISS ME”(protection) wenye hamjui, nikasneak kwa keja ya dem… Manze kitu ilikua huko ni mattress floor box yake ya nguo na skyplast tank ya maji mpya… Nikajua sikomi licha kukosa bed,nikajiangusha kwa mattress then nikatext dem, " niko kwa bed yako", dem ni wale hawajui chelewa chelewa,akaingia…dem alikua kitu…macho yangu ilikua inaona ile design waturkana wakiona maji ya mtaro wanaona ikikaa ya dasani ama keringet…ehh…sema kuona, boobs ni zile za beyonce, haga ni ya Huddah, dem sexy combanition ya socialites wote, Ndio sisi hao makiss haziishi, nakwambia gulf ilikua imenichanganya vile willy pozee alichanganywa na mabintilee nikasahau formular ya kufungua bra, sijawai pewa chemsha bongo na bra na stress kuruka hivo,niki-unhook za juu mbili, hooks za chini nazo zinajilock…shetani akashidwa nikamake thru’ ndio sisi hao tukaanguka kwa mattress, maromance haziishi…Mara hio kapanty nikakawai nikakatupa juu, kakaingia kwa sufuria ya sembe ilikua imeekwa maji… Mimi bado niko mzima mzima hadi belt sijafungua…noma ilianza hapa sasa, mvua ikaanza wah! Nikajua hii mvua iko sent from heaven ata wadosi hawatasikia maooh my god sijui oooh take it all, eti kill it kwa game…vile tu niliinuka nifungue trao,hapo ndio nilijua saitan haishi kayole na hatumia uber, mlango ikabishwa… Hakuna chini ya bed naeza ingia…mwanaume nikufikiria, kukonda pia ni advantage, option ilikua niingie tu ndani ya skyplast…sasa niko ndani ya tank kitu dakika tano, dem ashaatoka…usitake kujua what happened badae, kumbe mama wa nyumba anachotelea maji na bucket amwage kwa tank… Mimi sijawai mwagikiwa na maji baridi kama yenye nilisikia hio siku, maji baridi na inakuchoma,ndoo ya kwanza ya mbili… Na iPhone yangu iko kwa mfuko, akili ni nywele, ata kipara ngotoo ana futhii… kumbe iPhone yangu ndio ilikua iingie kwa condom sio mjoles wangu,nikiwa katika ile hali ya submarine nikamanage kuingiza tenje ndani ya CD…nikajua sasa ata nikikufa fon yangu iko safe… Bucket badaa ya bucket zinaninyeshea tu, makagare ilikua imesimama ikatoshana pimple,…tumatako tukashikana kama jubilee na Nasa, nikinyamba, bubbles zitoka kama zile za aquarium, maji ikanifika kwa shingo, nikaomba rosary ikaisha, nikasoma bible ikaisha nikaingilia qaran ikaisha, alshabaab tu ndio wanapenda kifo kweli, nikakumbusha Mungu vile aliambia Noah,hatawai maliza watu wake na maji tena…after hio sala nikaona rainbow na macho…mvua ilikua imeisha…nikasikia pia nje kumetulia… Nikatipitoe nikatoka kwa drum, nyege zimezimika,kumbe maji ya mvua pia ni dawa ya dryspell…nikatoka kitchen ya wenyewe pole pole tu kama mwana mpotevu akirudi kwa baba yake… hivo ndio nilidecide kua priest, kuni ikisimama naingianga tu drum ya maji ya mvua…?

Ni Kush ali-update au ni mwizi wa hekaya ali-modify?

:D:D

sis purposte

@kush yule mnono

Hi darl…nimetagiwa huku na mimi sisomi hii yote. Time for me to put this handle where the rest are cooling off.

Chill. Its on a lighter note

BTW alitoshea aje kwa hio tank na yeye ni mnono

Hi deer … @mobi knows @Waithelelo wa Kush is unbwogabo. Ni hekaya ya dryspell kwa kifupi, cunt relate though

kuna mahali umetudanganya…umesema kuna advantage kukuwa mkonde…sisi tunajua kush anakuanga mnono

:D:D cunt relate with what? dryspell?:smiley: oki sawaz…I had to put his handle somewhere where I don’t have to see his unnecessary tags which are baits in my world.

uongo…hakuna

:D:D

@Bhai hio hekaya haiwes kuwa ni @Kush wa Waithelelo Huyo anakaa @Kush yule Mbonoko