At times kunavile job hujificha n boy child anajipata lessjob,its one of those dais Niko mtaani n my good neiba upstairs ameget mtoi.Ka dry spell kamenikamata mbaya!
Kucheki cheki rada naona bombo njeru in awa ka ploti,tu salaams kiasi Leo,kesho yake salaams zinapita pia huku nikifikiri vile naweza kuwa plumber hizo eneo.
So my neiba introduced me to the bombo,happens tobe the siz n is hia to assist .After kitu ka one week,msupa anaalika UA guy ka lunch eti Leo nimepika mkimo nyama n nilikuwa nimekucount!!kujibonda not knowing sa katakuwa ka mtindo.Siku ka tatu nne za kuletewa Kijana kufanya ma one two,an a convince ngeus ilete kiruma kichinjio.
Ngeus kuleta fud inachoreshwa ingoje nimalize ju kunavile staki kubaki na ma hot pot.story kiasi nikijibonda ,sorora kiasi majegi zime simama niaje!Tumbo Niko saw a BTW mjuols sa inadai class ya swimming. Kuvuta msupa kiasi niskizie jegi,kidogo ameanza kujiondoa,eti sijui dondo hauoni ni nika siz yako??kuvurugana vurugana huku akijidai hataki kuguzwa guzwa,inabidi ikatike tym ngeus ameumizwa mkono akigeuka geuka.Waah!!! hapa nimepoteza,Sema mguys kuwachwa na blue balls!!!
Next day ata sidai kuona ngeus,kufungua tu mlango nongwe inaanika nguo apo njei,ma smile ndio zake .leo sibongi ju ya madharau yake ,jioni naskia knok kwa mlango yangu,Kijana wenyu mwaminifu amekatiwa Stima,so zake ni kuenda kwa boiz neiba kuwatch series then anakam straight doze.so nachungulia from my neighbours door n see her with food.
Ati sijui nimekuletea kiruma na aki siwezi ingia uko!your guy 'kwigagatia’aah me nine shiba!!
Sa ndio nikule tunaagree ataingia angoje nimalize then aende na dishes zake BTW nisimguze!
Fud juu ya Meza,dem anaanza yaani dondo ulikuwa unajaribu nini-jana??,fisi haingoji mwaliko ingine,nkajua labda bado kunavile.kufikia dem akijaribu kuhepa juu nimemkaribia,soft talking kidogo at I sijui anionyeshe runyonyo tu then aende,kuona ikawa kuguza kidogo bila kusumbuliwa,dem kuingiana sa boiz akojuu akifanya geographical studies na kujitetea mjuols aingize kichwa2 swimo…ngeus zimemshika aka kumbatia UA 1 n only na kuuliza Ukona CD?,eeh eeh eeh saizi labda niendee,dem"SI ULIKUWA UNAJUA UNATAKA,SIWEZI KUANIKIA BILA CD!!Huku macho amekaza kwa ukali,sema kujiomba pliis kiasi2.All fell on deaf ears.Kesho nikiendea itakuwaje?weh tutajua,mi sikuwachi hadi uniguzishe ama u agree kesho, OK sawa lakini Mara moja2 n no more please coz Niko na MTU,