Nawahusia tuachane na forums hizi zinazoota kama uyoga. Unaweza kuwa mtego wa Jiwe kunasa wapigania uhuru. ANAWEZA AKAANZISHA KUSUDI ANAS WATU…TAKE CARE. Maana sasa ni full fledged DICTATORSHIP like Bokassa, Mobutu and all other renowned dictators in the history of the world!
Hivi, kama email yako ni fake, id fake unakuwa na wasiwasi gani?
Juzi tumetangaziwa kukamatwa kwa watuma sms za uganga wa jadi na matapeli. Picha zao zikawekwa kwa mtandao. Ajabu tangu watangaze ndo hizo sms na utapeli umeongezeka.
Binafsi nadhani ile ilikuwa ni danganya toto, na waliokamatwa yawezekana walibambikiwa kesi tu ili polisi waonekane kuwa active kumbe hamna lolote.
Hahahaaaaa…mkuu umenifurahisha mana baada ya kutoka ile taarifa ya kuwakamata…siku hiyo hiyo nilipata ujumbe sa nikajiuliza waliingia cello na simu zao au…
Serikali la kipumbavu hufukuzana na wananchi wasio na hatia wasitoe maoni yao yaliyoruhusiwa na katiba lakini serikali makini hufukuzana na sayansi na tekinolojia ili kuleta maendeleo na maisha bora kwa wananchi wake.
Ni punguani wahedi tu ndo anayeweza kukubaliana na zama za mawe za sasa.
Wanachokiangalia ni hiyo email iliundwa kwenye kifaa (device) gani, wanafukua taarifa za hicho kifaa kama SIM card, location ambayo mda mrefu huwa inapatikana (hususan wakati wa usiku) nk.
Kama kifaa kilichoiunda kilishapotezwa na hiyo email haijawahi funguliwa tangu iundwe, namaanisha niliifungulia internate cafe then nikaitumia huko huko kuverfy acount za JF or KT watanipataje? Hivi kwa akili yako MAGU angekuwa na uwezo huo JF ingepitia hali ngumu kama inayopitia sasa? Na sio JF tu, hata google & yahoo waliwahi kupitia hali ngumu kama ya JF. Kuficha ID sio tanzania tu, hii iko dunia nzima. Kama hujawahi kupata ujumbe wa matapeli kupitia yahoo & gmail, ndo ujiongeze.
Mkuu hebu tumia concept ya “IP Address” na “MAC Address” kutupa elimu ya namna hawa mbwa wanaweza kutu-trackdown, nahisi hapo tutaelewa zaidi na tutaweza kujilinda zaidi.
[FONT=courier new]Na usije ukashangaa ukakuta hao hao waliowakamata hao ’ Wahalifu ’ wa Mitandao sasa na Wao ndiyo wanaendelea ’ Kututapeli '. Cheza na Watu Afrika ila siyo Mtanzania.[/FONT]
Sijui kanuni za hapa zinasemaje nisije kula ban, ila kwa taarifa tu ni kwamba huko hakuna kitu inaonyesha imeanzishwa na mwana lumumba ili kuvuruga watu
Kwenye forum ya kikuda ukiingia unaona tu hata post zake unajua ya watu wa kujipendekeza. Forum ya hivyo unaipotezea wanabaki wenye mrengo huo tu. Wakiona hamna wachangiaji na wenyewe wanaipotezea. Forum za hivyo zinakuwaga kama disko la wanaume watupu.