KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.

Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote;

Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu;

Mwenye Kumiliki Siku ya Malipo.

Wewe tu tunakuabudu, na Wewe tu tunakuomba msaada.

Tuongoe njia iliyo nyooka,

Njia ya ulio waneemesha, siyo ya walio kasirikiwa, wala walio potea.
https://www.islamkingdom.com/sw/category/qurantrans?title=1-fatiha-saad-al-ghamdi-barwani-&pg=2&pa=1&su=2&sq=&hz=1&rhz=1&ay=8&te=1&rd=701&tr=608&int=