Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote;
Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu;
Mwenye Kumiliki Siku ya Malipo.
Wewe tu tunakuabudu, na Wewe tu tunakuomba msaada.
Tuongoe njia iliyo nyooka,
Njia ya ulio waneemesha, siyo ya walio kasirikiwa, wala walio potea.
https://www.islamkingdom.com/sw/category/qurantrans?title=1-fatiha-saad-al-ghamdi-barwani-&pg=2&pa=1&su=2&sq=&hz=1&rhz=1&ay=8&te=1&rd=701&tr=608&int=