Ni jambo la kushangaza kwa serikali yetu sikivu pale utokeapo mradi kwa ajili ya wananchi, nachoweza kusema ni kuwa miradi yote inayoanzishwa na serikali yetu sikivu ya awamu ya Tano imekuwa ikiishia njiani pasipo kumalizika kwa muda ili wananchi wafaidike na huduma kupitia huo mradi,
Kipo choo hapo dar es salaam maeneo ya ilala (karume) mpaka leo kinajengwa na kusimama kwa muda wa kukaribia mwaka sasa.
Nauliza serikali inapoanzisha kitu huwa haina uhakika wa ni muda upi wa kumaliza hiyo kitu, au budget huwa inakataa na serikali yetu haipo makini?
Serikali ya awamu ya 5 chini na huyu Daktati fake wa kemia ni dhaifu mno kuliko serikali zote zilizopita kuanzia ya mkoloni, Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete, hivyo kutegemea mabadiliko chini ya huyu mshikaji ni sawa na kusubiri boat uwanja wa ndege
Tuvumilie tuu Mungu anatuona atatusaidia kwa hili… mbona nasikia sassa hivi anamepata kipyaaaa… kile kutoka kwa Ali Kiba kimetua mikononi mwake "DADA KASEMA’’
Ha ha ha ha ina maana wewe bado hujapita kwa dada TAIFA? kule wazo kampata mdogo wake kutoka sehemu za Tandahimba Songea… Yule aliyepumzishwa kwenye advisory la Viaa Chukua Chako Murua
Na ukitaka kujua angalia mradi wa magari ya BRT yako njiani kumalizikia… ama usubiri gari zaidi ya one hour ama ukute kituoni hamna tiket au laa basi msafiri bure… kwani aliyetuloga amefia bahari gani na alifungwa kwenye kiroba gani?
CHADEMA wana miaka 26 kwenye siasa za nchi hii hawana ofisi Katika jengo la kudumu na pia mwenyekiti ni Yule Yule mwaka wa 15 huu. Hayo ndio mafanikio tunayotaka.