kwa wajuzi Mashine ya POPCORN na biashara yake kwa ujumla.

Wadau kuna fursa nimeona ya utengenezaji wa popcorn na kuuza kweny supermarket flan hv pamoja na mtaani mana aliyekua akiifanya kahama na uhtaj bd n mkubwa sana nataka nichangamkie hii fursa pale supermarket nishaongea nao wamekua iterested wamesema anytime wapo tayar kupokea mzgo,

  1. naomb kujua bei za hii mashine(kama zipo za aina nying bas n vzr ukaniorodhoshea hapa na bei zake na kunishaur ipi n nzuri),
    2.Mahnd yake n haya haya ya kawaida au? Kama sio je hayo special napata wap kwa bei gan kwa kias gan?
    3.tofaut na Vitu gan natakiwa niwenavyo(malighafi) kwa ajili ya utengenezaji(kwa popcorn za rang)
  2. Matumiz yake ya umeme yapoje?
    5.changamoto? Na kingne chochote unachofaham kuhusu hii biashara.

inshu nyingne kuuna vile
vijitorori flan iv vipo sana dar, vinakua
vya kuhfadhia na kutembezea vitu
vdg vdg hasa vya kula na zaid hua bits
na juice, kinaweza kiwe
kimezungushiawa kioo au laa jina lake halisi sijui ila natumai kwa
anayevifaham amevielewa,
navipataje? Je kwa mkoani naweza
kuvisafrisha? Gharama yake ikoje,
naweza pata picha tofaut tofaut hapa
nichague?

Bei 350,000/ nilipost machine ya pop corn Jf tz ya kuwa naiuza ila wadau huko walichunia…ila nlikuja muuzia mdosi mmoja wa kutoka moshi…
So kwa upande wa bei ni 350,000/ unapata

Ova

asante, naweza pata wap mkuu kwa hapa town?

Nenda ko

Ova