Kwa wale tulioowa ni vyema kukumbushana

Kwa wale wanaume waongo waongo tunakumbushana tu kuwa Leo hakuna Kombe la Dunia ukitoa boko ni Shauri yako. Tusipigiane simu kuomba msaada

Oh

Ha ha haaaa…wengine hata hawapendi mpira…kisingizio kombe la dunia ili wakabandue michepuko yao

Wanaume tunapendana…nimewakumbusha wasiharibu

Ndio nimewasanua…ila wasingizie cecafa

Na sie umetupa njia ya kujua haya

Hahaha kumbe nimejenga na kubomoa

Kwa hakika sababu sikua najue leo hakuna mechi

Safi kabisa…

Kazi kwao wale waliokwisha danganya kuwa wiki nzima hii kuna mechi…

Kwa nini leo hakuna mpiraaa?! Aaah!

Kulikoni mshtuko mkuu…???

Pole kwa yanayo kusibu mkuu, jitahidi ukaze moyo hadi msimu huu wa kombe la duniani utakapo kwisha… tehteehhh

Oooohhh ushaharibu mipango wewe

H

apana kitu nimefrah tu kujua leo hakuna mechi sasa nasubiri kudanganywa

hii itakost wengi kweli…

Ipoo kagame

Aaaah ipi tena crush wa zamani?

hahahaaa

Hmm!..