Kwanini urembo wa kuvaa 'kikuku' kufananishwe na kutoa tigo?

Hi…

Kiukweli mimi napenda kweli kuvaa kikuku lakini nikitaka kuvaa naambiwa utaonekana unagawa tigo.

Yani najiuliza kwanini na ilikuwaje watu wakafananisha kuvaa kikuku na kuliwa tigo.

Watu na miguu yetu ya BIA tukivaa tunanoga balaa ila kuna watu wametuharibia urembo wetu kwa kufananisha na usodoma na gomora.

Wanaojua mtujuze…

Doncute

Maelezo bila picha ya mguu wa bia ni uzushi

Subiri nitafute picha

Weka picha ya huo mguu…wakenya wanasema"tusafishe macho"

Btw,zamani wale waliokuwa wanajiuza,ndo waliokuwa wanavaa hivo vitu

Mkuu nimeshindwa kuweka picha…nisaidie

Bonyeza kwenye icon ya mwisho ya keyboard,kwenye row ya B I U TI

Kama hivi

Bila shaka lisemwalo lipo. gugo vizuri utaelewa.

Ila siku hizi watu hawavai hvyo na bado wanatoa tiGo as normal

nasubiria kuona mguu wa bia…