Labour day

How is ur labour day . .mimi huku kwetu tumechill tukiuza cabbage na kunywa coffee na marafiki
[ATTACH=full]4633[/ATTACH] [ATTACH=full]4634[/ATTACH]

2 Likes

sweety attach picha vizuri ama nikuje hapo nikut*mbe

Purr, nikam niwajoin? btw 27 is my lucky number

1 Like

[ATTACH=full]4615[/ATTACH]

6 Likes

Error kwa mbicha purr

old monk ku upload picha inanishinda

Hehe naona watu wanajitetea mbaya … lakini i always have a soft spot for @Purr_27 …dear when yu are done with @Tig nitafute dear

huyu mwanamke ananifanya mambo

nategea hiyo picha I cast my wonderful eyes

ha ha ni ya mboga na imekataa ku upload kabisa

bado tunangoja :smiley:

ibembeleze ikubali ku-upload, hatujachoka kungoja

ninangojapoa :smiley:

@Purr_27 wacha tu nikuulize kaswali hivi, hio mawe hapo kwa probox ni ya kufanya??

Ni mbao …guess yakushikilia

http://33.media.tumblr.com/tumblr_lmln78A40J1qhub34o1_400.gif
http://www.kidsmomo.com/wordpress/wp-content/uploads/cat-look-left-right.gif

1 Like

@Purr_27 wewe hukunywa makali? Njoo kasa nimenunua mzinga ya napoleon crown nasskiza mixtapes hapa! That thigh reminds me ile wakati mimi hukua sonford and sons mimi hukula fries na thigh ya kuku! Na nikuulize ma tangu lini coloured drink( am assuming ni whisky rum ama brandy) ikakunywa na slice ya lemon? Hio iko reserved for colourless drink kama vodka ama gin just wondering out loud

Shida za probox ni mob hata @dr Luther hawes saidia

Hiyo ni kahawa . .za cup zinauzwa ten bob, hpe si mimi umeita kuku

No sio wewe purr