Its you the citizens wenye mtalipia na life zenu na za watoto wenu io kitu mnapitisha. Its not a loss for Ruto, but for you, clueless masses. Ruto anasema msile mavi, lakini sababu mnamchukia mnakula uchafu enye mnapewa na muthamaki, ndio Ruto asikie vibaya. Ni sawa. Shauri yenu