Land Cruiser vx v8 vs Range Rover Sport

Mekoniko mko wapi?
Niko na swali kuhusu hizo machine mbili …
Engine perfomance?
Handling?
Fuel economy?

Naweza jiskia kufika pale Lake Turkana any time after Nov Birthday

Land cruiser. Delete hiyo part ya fuel economy unachoma picha

[ATTACH=full]247670[/ATTACH]

[ATTACH=full]247672[/ATTACH]

This guzzler is really fast …

Rule No. 1 of Luxury car ownership. No one cares about fuel consumption.

Rule No. 2 - if you are concerned about fuel consumption then you can’t afford the car.

https://www.youtube.com/watch?v=JKh_0SAUYhE

The Land cruiser wins this one outright.

Peasant lazma ajifunge own goal

Hawa watu hudrive gari na mikono mbili shida yao ni gani?

https://www.youtube.com/watch?v=ch1jhEI3lAA

:D:D:D

Hii discussion ata sijui mnachangia nini with youtube videos, wengi wenu hata hamjawahi panda V8.

This is a more sensible argument.

Gani kati ya Hizi mbili ni noma kuua mende kwa nyumba. Sevin Dudu Dust vs Green Leaf

[ATTACH=full]247680[/ATTACH] [ATTACH=full]247681[/ATTACH]

Enda tu na Hilux ama Fortuner,kabla mfuko ikue fiti

off road

https://www.youtube.com/watch?v=k2yoehr0_2o

https://www.youtube.com/watch?v=yYD4Gfqq-_U

the only thing range inashinda hapa ni Urembo pekee. The rest haiwezi shinda hata na dawa

The “mighty” bbc and amazon use the Land Cruiser V8 while shooting films in tough terrain not the range rover or any other but the LCV8 ask your why.

whats this ? You still use doom ? Use a fumigator . Broke dusty.

a recent research found that mende haziwezi isha Hata ulipue nuclear warhead kwa nyumba,those fuck*rs mutate and become resistant to whatever pesticide you use

Get a serious fumigator. You will never see anything even an ant in your house.