late lunch

madze nimeenda kibandaski nkapata hii ndio food imebaki.but sijifungi wacha niweke foundation sababu leo ni ile siku
[ATTACH=full]120421[/ATTACH]

7 Likes

Is this for a grown up man or “ni ya kutega panya” tu:eek::eek:

26 Likes

:D:D:Dlazima kwanza niweke matandiko na yenye iko kabla nipimishe nyama baadaye

1 Like

Funny thing siezi imaliza

2 Likes

you got to be serious…na unakula chapo???s

1 Like

There is a restuarant posted here though sina link,of a restuarant in majuu called ‘matahíko’

2 Likes

Like it but stupid chapos look burned. Cannot stand them.

3 Likes

yea man.nimepata my fav imeisha but later nitakula p[oa kabla nianze brown bottle

1 Like

@culture re hizi standards watu wanajiekelea ni za nini sasa?? Hizo chapo ziko sawa… especially being za brown. Watu waache maringo ya bure

14 Likes

Afro if that sweep is meant for me, umenoa. No time for Chapos kwangu and if they are burned…pls endelea

2 Likes

hapo sasa.mimi sinaga maringo.thats y ata naingianga maclub zingine za mabati.sinaga class.simplicity is my principle

8 Likes

As for me,i tend to blend in with all worlds since i’ve had friends from all walks of life

1 Like

blessed

lakini hiyo chapo inakaa imekauka sana mblo

1 Like

hii ata mimi cwes shiba aki :D:D:D

3 Likes

kwanini and he is enjoying them?

1 Like

I love Kosewes food. I am now homesick. So clean and well prepared. Ngai Jeso.

3 Likes

NAWACHEKI TU

1 Like

Coz I have seen berra chapos made in Kenya where women are now putting sijui malenges to make them softer. Okii I am more Ugali oriented.

2 Likes

Umenifanya nahisi njaa. Am salivating

1 Like