Muziki ya pwani
Hebu weka ile Hua inakubamba.
Hii msenangu ilifanya nijifundishe kigiriama
@Liberty @Yollo @kingolonde @Cogito ergo sum @Kasighau @inzhener otmetka @kaki86 njooni hapa
There werea programmed in Citizen Sato aftys. Those Mama’s lyrics were very naughty
- Mtoto singuo utaomba mtu
- Ndogo ndogo, ewe sikidogo
- Nyambura nakupenda like fish and chips
etc
all by them mushrooms.
NB. Wil post the clips later. Niko kwa barabara driving frm work.
Leta hata kasuku by maroon commandos + Embakasi by mangelepa
Shauri Yako, super Mazembe
Kama grandmother yako alikuwa na hii we we ni rika yangu[ATTACH=full]105647[/ATTACH]
Mkubwa hio ndio nini?
Hio nikama fridge, chakula leftovers zilikuwa zinawekwa hapo.
Uliwai kula tule tuNdege tudogo wamaragoli wanaita Isindo? @Antonio Mascaro kuja useme venye mlikuwa mnarusha kwa moto kakiwa hai ati ni appetizer ya supper…
Unaingiza mkono ndani unatoka na piece ya nyake.
Haipikwi na mafuta, ni tamu sana.
Hio kakitu sikuwai kula. Nilikuwa naskia mbaya sana wakikarusha kwa moto kakiwa hai…
Kanadungwa miti kwa matako kakiwa na feathers unakarusha kwa moto ukipindua pindua hadi kana roast vizuri.
Hizo tumechoma saaaanaaa. From moto ni kosoliza ijumbi, 2 bites na tonge moja ya sembe and just like that, bila mazishi, isindu was gone with the wind.
corrupted version ya high school ilikuwa:
Moi ni mwarabu, bibi yake ni mnandi (x2) …
Abdalla … amesimama wima (x2) …
I want that ka-something, sio kwa ubaya …
Aluru…
Tamu sana.