Malengo ya wstawaliwa yanatimia ila Malengo ya watawala mmh,mfano Kuna lile lenye rohombaya halioni hatari hata kuchoma vifaranga vya kuku vya majirani
Uhusiano huu linauchukia sana ila Ndo hamzidi Mungu.
Ukimbizi halikuwa lengo au tamanio la EAC. Kilichotokea huko TZ baada ya blog yao ya Jf kufungwa kwa sababu ya kukaidi kuisajili kwenye mamlaka ya nchi ili iwe inalipa kodi stahiki, baadhi ya wanachama wake wamehamia kwenye blog hii ya Kenya kama wakimbizi wa kidijitali. Wamepewa kijiji kama wakimbizi - they are e-immigrants sawa na wakimbizi wengine. Matatizo yao ya mtandao yakiisha watarejea kwao.
Kumpiga chura teke ni kumwongezea kasi, tena wamefanya kosa kubwa maana kule home story ilikuwa inabalance maana kulikuwa na wafia chama, ila hapa ni mwendo wa kupewa makavu live tu
Hii sio free movement, labda kama hujui free movement. Huu upuuzi pia ndio umechangia hata wafanyabiashara kukimbiza mitaji yao nje ya nchi. Matokro yake makusanuo yameshuka imebaki kupika data , mikopo mingi inabidi kulipa mishahara. Huko ndio ziliko potelea 1.5t isiyo na maelezo. Nyie mliokuwa mnasifia sera mbovu na nyie mmejikuta huku uhamishoni na sisi wakosoaji. Anzisheni forum yenu ya kusifia maendeleo mnayohubiri tuje kuyaona.