Amolo niaje kizee… unaendelea aje lakini? Mimi niko poa bado nakula kiumbitho kama kawa… by the way unatutakia aje bana? Narudi kenya kesho and nataka tuonane sana coz naskia uko na upus sana this days and how is ida na watoto doing? Alafu ntataka uniambie kama sisi tunaeza kupelaka caanan alafu sisi turudi coz naona caanan akuna shada…
Yours sincery. A mosa deh.